Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 143:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Na roho yangu imezimia ndani yangu, Moyo wangu ndani yangu umeshtuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nimevunjika moyo kabisa; nimekufa ganzi kwa ajili ya woga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nimevunjika moyo kabisa; nimekufa ganzi kwa ajili ya woga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nimevunjika moyo kabisa; nimekufa ganzi kwa ajili ya woga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 143:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, mwapenda kuwapigia kura hao mayatima, Na kufanya biashara ya rafiki yenu.


Ee BWANA, usikie kuomba kwangu, Kilio changu kikufikie.


Papo hapo maji yangalitugharikisha, Mto ungalipita juu ya roho zetu;


Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.


Utazame mkono wangu wa kulia ukaone, Kwa maana sina mtu anijuaye. Makimbilio yamenipotea, Hakuna wa kunitunza roho.


Uniangalie na kunifadhili, Maana mimi ni mkiwa na mteswa.


Hofu na tetemeko limenijia, Na hofu kubwa imeniingia.


Toka mwisho wa nchi nitakulilia ninapozimia moyo, Uniongoze juu ya mwamba nisioweza kuupanda.


Nilipotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika; Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia.


Nanena na moyo wangu usiku, Nawaza moyoni mwangu, Roho yangu naipeleleza.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Tufuate:

Matangazo


Matangazo