Zaburi 143:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Usinitie hukumuni mimi mtumishi wako, maana hakuna yeyote aliye mwadilifu mbele yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Usinitie hukumuni mimi mtumishi wako, maana hakuna yeyote aliye mwadilifu mbele yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Usinitie hukumuni mimi mtumishi wako, maana hakuna yeyote aliye mwadilifu mbele yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu aliye hai mwenye haki mbele zako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako. Tazama sura |