Zaburi 143:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ee BWANA, uisikie sala yangu, uzisikilize dua zangu Unijibu Kwa uaminifu wako, Unijibu kwa haki yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu! Ulitegee sikio ombi langu maana wewe ni mwaminifu; unijibu kwa sababu ya uadilifu wako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu! Ulitegee sikio ombi langu maana wewe ni mwaminifu; unijibu kwa sababu ya uadilifu wako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Usikie sala yangu, ee Mwenyezi-Mungu! Ulitegee sikio ombi langu maana wewe ni mwaminifu; unijibu kwa sababu ya uadilifu wako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ee Mwenyezi Mungu, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ee bwana, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie. Tazama sura |