Zaburi 142:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Uitoe nafsi yangu kifungoni. Nipate kulishukuru jina lako. Wenye haki watanizunguka, Kwa kuwa Wewe unanikirimu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Unitoe humu kifungoni, ili nipate kukushukuru. Watu waadilifu watajiunga nami kwa sababu umenitendea mema mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Unitoe humu kifungoni, ili nipate kukushukuru. Watu waadilifu watajiunga nami kwa sababu umenitendea mema mengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Unitoe humu kifungoni, ili nipate kukushukuru. Watu waadilifu watajiunga nami kwa sababu umenitendea mema mengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nifungue kutoka kifungo changu, ili niweze kulisifu jina lako. Ndipo wenye haki watanizunguka, kwa sababu ya wema wako kwangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Nifungue kutoka kifungo changu, ili niweze kulisifu jina lako. Ndipo wenye haki watanizunguka, kwa sababu ya wema wako kwangu. Tazama sura |