Zaburi 142:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Ukisikilize kilio changu, Kwa maana nimedhilika sana. Uniponye kutoka kwa wanaonifuatia, Kwa maana wao ni hodari kuliko mimi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Usikilize kilio changu, maana nimekuwa hoi; uniokoe na watesi wangu, maana wamenizidi nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Usikilize kilio changu, maana nimekuwa hoi; uniokoe na watesi wangu, maana wamenizidi nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Usikilize kilio changu, maana nimekuwa hoi; uniokoe na watesi wangu, maana wamenizidi nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Sikiliza kilio changu, kwa sababu mimi ni mhitaji sana; niokoe na wale wanaonifuatilia, kwa kuwa wamenizidi nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Sikiliza kilio changu, kwa sababu mimi ni mhitaji sana; niokoe na wale wanaonifuatilia, kwa kuwa wamenizidi nguvu. Tazama sura |