Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 141:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Macho yangu yanakuelekea Wewe, MUNGU Bwana, Nimekukimbilia Wewe, usiniache bila kinga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu; ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu; ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu; ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

Tazama sura Nakili




Zaburi 141:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu wetu, je! Hutawahukumu? Maana sisi hatuna uwezo juu ya jamii kubwa hii, wanaotujia juu yetu; wala hatujui tufanyeje; lakini macho yetu yanatazama kwako.


Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa, Asiyadharau maombi yao.


BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, BWANA, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.


Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo