Zaburi 141:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Wakuu wao wakiangushwa kando ya genge, Watayasikia maneno yangu, maana ni matamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Wakuu wao watakapopondwa miambani, ndipo watatambua maneno yangu yalikuwa sawa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Wakuu wao watakapopondwa miambani, ndipo watatambua maneno yangu yalikuwa sawa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Wakuu wao watakapopondwa miambani, ndipo watatambua maneno yangu yalikuwa sawa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Watawala wao watatupwa chini kutoka majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 watawala wao watatupwa chini kutoka kwenye majabali, waovu watajifunza kwamba maneno yangu yalikuwa kweli. Tazama sura |