Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 141:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Ee BWANA, nimekuita, unijie hima, Uisikie sauti yangu nikuitapo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Nakuita, ee Mwenyezi-Mungu, uje haraka kunisaidia! Uisikilize sauti yangu wakati ninapokuita!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Nakuita, ee Mwenyezi-Mungu, uje haraka kunisaidia! Uisikilize sauti yangu wakati ninapokuita!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Nakuita, ee Mwenyezi-Mungu, uje haraka kunisaidia! Uisikilize sauti yangu wakati ninapokuita!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ee Mwenyezi Mungu, ninakuita, njoo kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ee bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima. Sikia sauti yangu ninapokuita.

Tazama sura Nakili




Zaburi 141:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Ee BWANA, uisikie sala yangu, uzisikilize dua zangu Unijibu Kwa uaminifu wako, Unijibu kwa haki yako.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Nawe, BWANA, usiwe mbali, Ee Nguvu zangu, fanya haraka kunisaidia.


Uisikie sauti ya dua yangu nikuombapo, Nikipainulia patakatifu pako mikono yangu.


Ee BWANA, uwe radhi kuniokoa, Ee BWANA, unisaidie hima.


Waaibike, wafedheheke, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu.


Nami ni maskini na mhitaji, Ee Mungu, unijilie kwa haraka. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee BWANA, usikawie.


Ee Mungu, usiwe mbali nami; Ee Mungu wangu, fanya haraka kunisaidia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo