Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 140:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Ee BWANA, unilinde Kutoka kwa mikono ya mtu asiye haki; Unihifadhi na watu wajeuri; Waliopanga kuniangusha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Ee Mwenyezi-Mungu, unilinde na makucha ya wabaya; unikinge na watu wakatili ambao wamepanga kuniangusha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Ee Mwenyezi-Mungu, unilinde na makucha ya wabaya; unikinge na watu wakatili ambao wamepanga kuniangusha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Ee Mwenyezi-Mungu, unilinde na makucha ya wabaya; unikinge na watu wakatili ambao wamepanga kuniangusha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ee Mwenyezi Mungu, niepushe na mikono ya waovu; nilinde na watu wenye jeuri wanaopanga kunikwaza miguu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ee bwana, niepushe na mikono ya waovu; nilinde na watu wenye jeuri wanaopanga kunikwaza miguu yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 140:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Mguu wa kiburi usinikaribie, Wala mkono wa wasio haki usinifukuze.


Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila.


Asiyeisikiliza sauti ya waganga, Ijapo wanafanya uganga kwa ustadi.


Ee Mungu wangu, uniponye mkononi mwa mkorofi, Katika mkono wake mwovu na mdhalimu,


Kukubali uso wake asiye haki si vizuri; Wala kumpotosha mwenye haki hukumuni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo