Zaburi 140:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Ndimi zao hatari kama za nyoka; midomoni mwao mna maneno ya sumu kama ya joka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Ndimi zao hatari kama za nyoka; midomoni mwao mna maneno ya sumu kama ya joka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Ndimi zao hatari kama za nyoka; midomoni mwao mna maneno ya sumu kama ya joka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka, sumu ya nyoka iko midomoni mwao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka, sumu ya nyoka iko midomoni mwao. Tazama sura |