Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 140:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Waliowaza mabaya mioyoni mwao, Kila siku huchochea vita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Watu hao huwaza mabaya daima, huzusha magomvi kila mara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Watu hao huwaza mabaya daima, huzusha magomvi kila mara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Watu hao huwaza mabaya daima, huzusha magomvi kila mara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao, na kuchochea vita siku zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao, na kuchochea vita siku zote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 140:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nazingatia amani; Bali ninenapo, wao wanataka vita.


Wakipanga kukutenda mabaya, Kwa miango ya hila, hawatafanikiwa.


Huwaza maovu kitandani pake, Hujiweka katika njia mbaya; hauchukii ubaya.


Nao wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego; Nao wanaotaka kunidhuru hunena mabaya; Na kufikiri hila mchana kutwa.


Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa waliniotea ili waniue.


Kwa maana wanaiotea nafsi yangu; Wenye nguvu wamepanga kunishambulia; Ee BWANA, si kwa kosa langu, Wala si kwa hatia yangu.


Hadi lini mtamshambulia mtu, Mpate kumwua ninyi nyote pamoja? Kama ukuta unaoinama, Kama ua ulio tayari kuanguka,


Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu; Bali wafanyao mashauri ya amani, kwao kuna furaha.


Maana wamefanya moyo wao kuwa tayari kama tanuri, wakati waoteapo; hasira yao hulala usiku kucha; asubuhi yawaka kama moto utoao miali.


Ametoka mmoja kwako, akusudiaye mabaya juu ya BWANA, atoaye mashauri yasiyofaa kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo