Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 140:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Hakika wenye haki watalishukuru jina lako, Wenye adili watakaa mahali ulipo Wewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hakika waadilifu watalisifu jina lako; wanyofu watakaa kwako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hakika waadilifu watalisifu jina lako; wanyofu watakaa kwako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hakika waadilifu watalisifu jina lako; wanyofu watakaa kwako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 140:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hauhifadhi uhai wa waovu; Lakini huwapa wateswao haki yao.


Kwa kuwa BWANA ni mwenye haki, Apenda matendo ya haki, Wanyofu wa moyo watauona uso wake.


Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Mifupa yangu yote itasema, BWANA, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Enyi wenye haki, mfurahieni BWANA, Na kulishukuru jina lake takatifu.


Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami popote nilipo, wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi ulimwengu.


Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo