Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 14:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Hapo ndipo waovu watakaposhikwa na hofu nyingi, Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hapo watashikwa na hofu kubwa, maana Mungu yu pamoja na waadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hapo watashikwa na hofu kubwa, maana Mungu yu pamoja na waadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hapo watashikwa na hofu kubwa, maana Mungu yu pamoja na waadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 14:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Ahasuero akawaambia malkia Esta na Mordekai, Myahudi, akasema, Tazama, nimekwisha kumpa Esta nyumba yake Hamani, naye mwenyewe wamekwisha kumtundika juu ya mti, kwa sababu aliwatia mikono Wayahudi.


Wazawa wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.


Wazawa wake watamtumikia. Zitasimuliwa habari za BWANA, Kwa kizazi kitakachokuja,


Hiki ndicho kizazi cha wamtafutao, Wakutafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu.


Mungu yu katikati ya mji hautatetemeshwa; Mungu atausaidia asubuhi na mapema.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.


Hapo waliingiwa na hofu pasipokuwapo hofu, Maana Mungu ameitawanya mifupa yake aliyekuhusuru. Umewatia aibu, Kwa sababu MUNGU amewadharau.


Kama ningalisema, Nitasimulia kama hayo; Kumbe! Ningaliwadanganya kizazi cha wana wako.


Hofu na woga zimewaangukia; Kwa uweza wa mkono wako wanakaa kimya kama jiwe; Hata watakapovuka watu wako, Ee BWANA, Hata watakapovuka watu wako uliowanunua.


Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.


Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni; Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


Fanyeni shauri pamoja, nalo litabatilika; Semeni neno, lakini halitasimama; Kwa maana Mungu yu pamoja nasi.


Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Kukawa na tetemeko katika kambi, na katika mashamba, na katikati ya watu wote; watu wa ngomeni, na watekaji nyara, wakatetemeka nao; hata na nchi ikatetemeka pia; basi kulikuwa na tetemeko kubwa mno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo