Zaburi 14:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Hapo ndipo waovu watakaposhikwa na hofu nyingi, Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Hapo watashikwa na hofu kubwa, maana Mungu yu pamoja na waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Hapo watashikwa na hofu kubwa, maana Mungu yu pamoja na waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Hapo watashikwa na hofu kubwa, maana Mungu yu pamoja na waadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki. Tazama sura |