Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 139:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Wale wanaokusema kwa ubaya, na kutenda maovu juu ya jina lako bure.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wanasema vibaya juu yako; wanasema maovu juu ya jina lako!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wanasema vibaya juu yako; wanasema maovu juu ya jina lako!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wanasema vibaya juu yako; wanasema maovu juu ya jina lako!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya, adui zako wanatumia vibaya jina lako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya, adui zako wanatumia vibaya jina lako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 139:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.


Ni nani uliyemshutumu na kumtukana? Umeinua sauti yako juu ya nani, na kuinua macho yako juu? Juu ya Mtakatifu wa Israeli.


ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibu wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno yote maovu ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.


Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo