Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 139:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kama ningeyahesabu ni mengi kuliko mchanga; Niamkapo ningali pamoja nawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ningeyahesabu yangekuwa mengi kuliko mchanga. Niamkapo, bado nipo pamoja nawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ningeyahesabu yangekuwa mengi kuliko mchanga. Niamkapo, bado nipo pamoja nawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ningeyahesabu yangekuwa mengi kuliko mchanga. Niamkapo, bado nipo pamoja nawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kama ningezihesabu, zingekuwa nyingi kuliko mchanga: niamkapo, bado niko pamoja nawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kama ningezihesabu, zingekuwa nyingi kuliko mchanga. Niamkapo, bado niko pamoja nawe.

Tazama sura Nakili




Zaburi 139:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

Umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu, Umeelewa na njia zangu zote.


Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.


Nilijilaza na kulala usingizi, kisha ninaamka tena, Kwa kuwa BWANA ananitegemeza.


Kwa maana mabaya yasiyohesabika Yamenizunguka mimi. Maovu yangu yamenipata, Wala siwezi kuona. Yamezidi kuliko nywele za kichwa changu, Nami nimevunjika moyo.


Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi Miujiza yako na mawazo yako kwetu; Hakuna awezaye kufananishwa nawe; Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri, Ni mengi sana hayahesabiki.


Dhabihu na matoleo hukupendezwa nazo, Umetuzidishia ila masikio, Kafara na sadaka za dhambi hukuzitaka.


Wafu wako wataishi, maiti zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi mnaokaa mavumbini, kwa maana umande wako ni kama umande wa mimea, nayo ardhi itawatoa waliokufa.


Tena, wengi wa hao wanaolala katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele.


ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tunakesha au tunalala.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo