Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 139:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke badala ya mwanga,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke badala ya mwanga,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke badala ya mwanga,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kama nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

Tazama sura Nakili




Zaburi 139:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akaondoka kati ya usiku, akamwondoa mtoto wangu ubavuni pangu, mimi mjakazi wako nilipokuwa usingizini, akamweka kifuani pake, na mtoto wake mwenyewe, aliyekuwa amekufa, akamweka kifuani pangu.


Huvumbua mambo ya siri tokea gizani, Na hicho kilicho giza tupu huleta mwangani.


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Nao husema, BWANA haoni; Mungu wa Yakobo hatambui.


Ole wao wanaojitahidi kumficha BWANA mashauri yao, na matendo yao yamo gizani, nao husema, Ni nani atuonaye? Nani atujuaye?


Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo