Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 137:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Ee binti Babeli, uliye karibu na kuangamia, Heri atakayekupatiliza, ulivyotupatiliza sisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ee Babuloni, utaangamizwa! Heri yule atakayekulipiza mabaya uliyotutenda!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ee Babuloni, utaangamizwa! Heri yule atakayekulipiza mabaya uliyotutenda!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ee Babuloni, utaangamizwa! Heri yule atakayekulipiza mabaya uliyotutenda!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:

Tazama sura Nakili




Zaburi 137:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ufunuo juu ya nyika kando ya bahari. Kama tufani za Negebu zikaribiavyo kwa kasi, inakuja kutoka kwa nyika, toka nchi itishayo.


nimwambiaye Koreshi, Mchungaji wangu, naye atayatenda mapenzi yangu; hata ataunena Yerusalemu, Utajengwa; na hilo hekalu, Msingi wako utawekwa.


Neno hili ndilo alilosema BWANA, kuhusu Babeli na kuhusu Wakaldayo, kwa kinywa cha Yeremia, nabii.


Waiteni wapiga mishale juu ya Babeli, Naam, wote waupindao upinde; Pangeni hema kumzunguka pande zote; Ili asiokoke hata mtu mmoja wao; Mlipeni kwa kadiri ya kazi yake; Mtendeni sawasawa na yote aliyoyatenda; Kwa sababu amefanya kiburi juu ya BWANA, Juu yake aliye Mtakatifu wa Israeli.


Haya! Ee Sayuni, jiponye, wewe ukaaye pamoja na binti Babeli.


Furahini juu yake, enyi mbingu, na enyi watakatifu, mitume na manabii; kwa maana Mungu ametoa hukumu kwa ajili yenu juu yake.


Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni mara mbili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo