Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 136:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Mwezi na nyota zitawale usiku; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Mwezi na nyota vitawale usiku; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Mwezi na nyota vitawale usiku; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Mwezi na nyota vitawale usiku; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mwezi na nyota vitawale usiku, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mwezi na nyota vitawale usiku, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaumba mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.


Kama nililitazama jua lilipoangaza, Au mwezi ukiendelea kung'aa;


Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua.


Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, Mwezi na nyota ulizoziratibisha;


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


BWANA asema hivi, awapaye watu jua, ili kuwa nuru wakati wa mchana, na amri za mwezi na nyota, ili kuwa nuru wakati wa usiku, aichafuaye bahari, hata mawimbi yake yakavuma; BWANA wa majeshi, ndilo jina lake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo