Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 136:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Jua litawale mchana; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Jua liutawale mchana; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Jua liutawale mchana; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Jua liutawale mchana; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Jua litawale mchana, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Jua litawale mchana, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaumba mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.


Msifuni, jua na mwezi; Msifuni, nyota zote zenye mwanga.


Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua.


BWANA asema hivi, awapaye watu jua, ili kuwa nuru wakati wa mchana, na amri za mwezi na nyota, ili kuwa nuru wakati wa usiku, aichafuaye bahari, hata mawimbi yake yakavuma; BWANA wa majeshi, ndilo jina lake;


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo