Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 136:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Yeye aliyeumba mbingu kwa fahamu zake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Ndiye aliyeziumba mbingu kwa hekima; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Ndiye aliyeziumba mbingu kwa hekima; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Ndiye aliyeziumba mbingu kwa hekima; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.


Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.


Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


BWANA akubariki toka Sayuni, Aliyeziumba mbingu na nchi.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.


Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo