Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 136:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Mshukuruni Mungu wa mbingu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni; kwa maana fadhili zake zadumu milele!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni; kwa maana fadhili zake zadumu milele!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni; kwa maana fadhili zake zadumu milele!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mshukuruni Mungu wa mbinguni, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo niliposikia maneno hayo, nikaketi, nikalia, nikaomboleza siku kadhaa; kisha nikafunga, nikaomba mbele za Mungu wa mbinguni;


Ndipo mfalme akaniambia, Una haja gani unayotaka kuniomba? Basi nikamwomba Mungu wa mbinguni.


Lakini Mungu wetu yuko mbinguni, Alitakalo lote amelitenda.


Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.


ili waombe rehema kwa Mungu wa mbinguni kuhusu siri hiyo, ili kwamba Danieli na wenzake wasiangamizwe pamoja na wenye hekima wa Babeli.


Akawaambia, Mimi ni Mwebrania; nami namcha BWANA, Mungu wa mbingu, aliyeziumba bahari na nchi kavu.


Na katika saa ile palikuwa na tetemeko kuu la nchi, na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka; wanadamu elfu saba wakauawa katika tetemeko lile. Na waliobakia wakaingiwa na hofu, wakamtukuza Mungu wa mbingu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo