Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 136:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Akaitoa nchi yao iwe urithi; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Akachukua nchi zao akawapa watu wake; kwa maana fadhili zake zadumu milele;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Akachukua nchi zao akawapa watu wake; kwa maana fadhili zake zadumu milele;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Akachukua nchi zao akawapa watu wake; kwa maana fadhili zake zadumu milele;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Akatoa nchi yao kuwa urithi, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Akatoa nchi yao kuwa urithi, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;


Akaitoa nchi yao iwe urithi, Urithi wa Israeli watu wake.


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Nawe, Israeli, mtumishi wangu; Yakobo, niliyekuchagua; mzao wa Abrahamu, rafiki yangu;


Nikawaamuru wakati huo, nikawaambia, BWANA, Mungu wenu, amewapa ninyi nchi hii muimiliki, basi vukeni ng'ambo wenye silaha mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, nyote mlio mashujaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo