Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 136:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini akawazamisha humo Farao na jeshi lake; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini akawazamisha humo Farao na jeshi lake; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini akawazamisha humo Farao na jeshi lake; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Alituma ishara na maajabu kati yako, Ee Misri, Juu ya Farao na watumishi wake wote.


Kwa fadhili zako utawakatilia mbali adui zangu; Na kuwaangamiza wote wanitesao nafsi, Kwa maana mimi ni mtumishi wako.


Kwa mambo ya kutisha utatujibu, Katika haki, Ee Mungu wa wokovu wetu. Wewe uliye tumaini la miisho yote ya dunia, Na la bahari iliyo mbali sana,


Hao akawachukua salama wala hawakuogopa, Bali bahari iliwafunika adui zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo