Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 136:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Ndiye aliyeigawa Bahari ya Shamu sehemu mbili; kwa maana fadhili zake zadumu milele,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Ndiye aliyeigawa Bahari ya Shamu sehemu mbili; kwa maana fadhili zake zadumu milele,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Ndiye aliyeigawa Bahari ya Shamu sehemu mbili; kwa maana fadhili zake zadumu milele,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 136:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe umeipasua bahari kwa nguvu zako, Umevivunja vichwa vya nyangumi juu ya maji.


Aliipasua bahari akawavusha; Aliyafanya maji yasimame kama ukuta.


Lakini wana wa Israeli wakaenda katika nchi kavu katikati ya bahari; na hayo maji yalikuwa ni kuta upande wao wa kulia, na upande wao wa kushoto.


Kwa imani wakapita kati ya Bahari ya Shamu, kama katika nchi kavu; Wamisri walipojaribu kufanya vivyo wakatoswa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo