Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 135:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Akaitoa nchi yao iwe urithi, Urithi wa Israeli watu wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Alichukua nchi zao na kuwapa watu wake; naam, ziwe riziki ya watu wake Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Alichukua nchi zao na kuwapa watu wake; naam, ziwe riziki ya watu wake Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Alichukua nchi zao na kuwapa watu wake; naam, ziwe riziki ya watu wake Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.

Tazama sura Nakili




Zaburi 135:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Nanyi mtairithi nchi kwa kufanya kura, kama jamaa zenu zilivyo; hao walio wengi mtawapa urithi zaidi, na hao waliopunguka utawapa kama kupunguka kwao; mahali popote kura itakapomwangukia mtu yeyote, mahali hapo ni pake; mtarithi kama makabila ya baba zenu yalivyo.


tukaitwaa nchi yao, nayo tukawapa Wareubeni, na Wagadi, na nusu ya kabila la Manase, iwe urithi.


Basi Yoshua akaitwaa hiyo nchi yote, sawasawa na hayo yote BWANA aliyokuwa amemwambia Musa; Yoshua naye akawapa Israeli kuwa ni urithi wao, sawasawa na walivyogawanyikana kwa makabila yao. Kisha nchi ikatulia isiwe na vita tena.


Hawa ni wafalme wa hiyo nchi ambao Yoshua na wana wa Israeli waliwapiga ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa magharibi, kutoka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni mpaka kilima cha Halaki, kilichoelekea Seiri; Yoshua naye akawapa makabila ya Israeli iwe milki yao sawasawa na magawanyo yao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo