Zaburi 133:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Ni kama umande wa Hermoni ushukao milimani pa Sayuni. Maana huko ndiko BWANA alikoamuru baraka, Naam, uzima hata milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Ni kama umande wa mlima Hermoni, uangukao juu ya vilima vya Siyoni! Huko Mwenyezi-Mungu ameahidi kuwabariki watu wake, kuwapa uhai usio na mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Ni kama umande wa mlima Hermoni, uangukao juu ya vilima vya Siyoni! Huko Mwenyezi-Mungu ameahidi kuwabariki watu wake, kuwapa uhai usio na mwisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Ni kama umande wa mlima Hermoni, uangukao juu ya vilima vya Siyoni! Huko Mwenyezi-Mungu ameahidi kuwabariki watu wake, kuwapa uhai usio na mwisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Ni kama umande wa Hermoni ukianguka juu ya Mlima Sayuni. Kwa maana huko ndiko Mwenyezi Mungu alikoamuru baraka yake, naam, uzima hata milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Ni kama vile umande wa Hermoni unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni. Kwa maana huko ndiko bwana alikoamuru baraka yake, naam, hata uzima milele. Tazama sura |