Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 132:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Tazama, tulisikia habari zake katika Efrata, Katika shamba la Yearimu tuliiona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Huko Efratha tulisikia habari za sanduku la agano, tukalikuta katika mashamba ya Yearimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Huko Efratha tulisikia habari za sanduku la agano, tukalikuta katika mashamba ya Yearimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Huko Efratha tulisikia habari za sanduku la agano, tukalikuta katika mashamba ya Yearimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Tulisikia habari hii huko Efrata, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Tulisikia habari hii huko Efrathi, tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:

Tazama sura Nakili




Zaburi 132:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Raheli, akazikwa katika njia ya Efrata, ndio Bethlehemu.


Wakaliweka sanduku la Mungu juu ya gari jipya, wakalitoa katika nyumba ya Abinadabu, iliyoko kilimani; nao Uza na Ahio wana wa Abinadabu wakaliendesha lile gari jipya.


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye asili yake imekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.


Na jina la mtu huyo aliitwa Elimeleki, na jina la mkewe Naomi, na majina ya wanawe wawili Maloni na Kilioni, Waefrata wa Bethlehemu ya Yuda. Wakafika nchi ya Moabu, wakakaa huko.


Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrata, wa Bethlehemu ya Yuda, aliyeitwa jina lake Yese; naye huyo alikuwa na wana wanane; na yeye mwenyewe alikuwa mzee siku za Sauli, na mkongwe miongoni mwa watu.


Na hao watu wa Kiriath-yearimu wakaja, wakalichukua sanduku la BWANA, wakalipeleka ndani ya nyumba ya Abinadabu huko kilimani, nao wakamtenga Eleazari, mwanawe, ili alilinde sanduku la BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo