Zaburi 132:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Hapo nitamchipushia Daudi pembe, Na taa nimemtengenezea masihi wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Humo nitamchipusha mfalme shujaa wa ukoo wa Daudi: Kama taa iwakayo nitamtegemeza mfalme niliyemteua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Humo nitamchipusha mfalme shujaa wa ukoo wa Daudi: Kama taa iwakayo nitamtegemeza mfalme niliyemteua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Humo nitamchipusha mfalme shujaa wa ukoo wa Daudi: kama taa iwakayo nitamtegemeza mfalme niliyemteua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu. Tazama sura |