Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 132:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Hapo nitamchipushia Daudi pembe, Na taa nimemtengenezea masihi wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Humo nitamchipusha mfalme shujaa wa ukoo wa Daudi: Kama taa iwakayo nitamtegemeza mfalme niliyemteua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Humo nitamchipusha mfalme shujaa wa ukoo wa Daudi: Kama taa iwakayo nitamtegemeza mfalme niliyemteua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Humo nitamchipusha mfalme shujaa wa ukoo wa Daudi: kama taa iwakayo nitamtegemeza mfalme niliyemteua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 “Hapa nitamchipushia Daudi pembe, na kuweka taa kwa ajili ya masiya wangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 132:17
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi, mtumishi wangu, apate kuwa na taa siku zote mbele zangu katika Yerusalemu, mji ule niliouchagua niweke jina langu huko.


Lakini kwa ajili ya Daudi, BWANA, Mungu wake, akampa taa humo Yerusalemu, amwinue mwanawe baada yake, na kuufanya imara Yerusalemu;


Walakini BWANA hakupenda kuiharibu Yuda, kwa ajili ya Daudi mtumishi wake, kama alivyomwahidia akasema, kuwa atampa taa, yeye na wazao wake siku zote.


Walakini BWANA hakupenda kuiharibu nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano alilolifanya na Daudi, na kama alivyomwahidi kuwa atampa taa, yeye na wazao wake siku zote.


Naye amewainulia watu wake pembe, Sifa za watauwa wake wote; Wana wa Israeli, watu walio karibu naye. Haleluya.


Nitaweka mkono wake juu ya bahari, Na mkono wake wa kulia juu ya mito.


Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati, Nimepakwa mafuta mabichi.


Siku ile nitawachipushia nyumba ya Israeli pembe, nami nitakujalia kufumbua kinywa kati yao; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Ametusimamishia pembe ya wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi wake.


Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo