Zaburi 132:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Wanao wakiyashika maagano yangu, Na shuhuda nitakazowafundisha; Watoto wao nao wataketi Katika kiti chako cha enzi milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Watoto wako wakishika agano langu, na kuzingatia mafundisho nitakayowapa, watoto wao pia watakuwa wafalme kama wewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Watoto wako wakishika agano langu, na kuzingatia mafundisho nitakayowapa, watoto wao pia watakuwa wafalme kama wewe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Watoto wako wakishika agano langu, na kuzingatia mafundisho nitakayowapa, watoto wao pia watakuwa wafalme kama wewe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 kama wanao watashika agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watakalia kiti chako cha ufalme milele na milele.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 kama wanao watashika Agano langu na sheria ninazowafundisha, ndipo wana wao watarithi kiti chako cha enzi milele na milele.” Tazama sura |