Zaburi 130:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Ee Bwana, sikia sauti yangu, uitegee sikio sauti ya ombi langu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Ee Bwana, sikia sauti yangu, uitegee sikio sauti ya ombi langu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Ee Bwana, sikia sauti yangu, uitegee sikio sauti ya ombi langu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ee bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie. Tazama sura |
tega sikio lako, macho yako yakafumbuke, upate kuyasikiliza maombi ya mtumishi wako, ninayoomba mbele zako wakati huu, mchana na usiku, kwa ajili ya wana wa Israeli, watumishi wako; hapo ninapoziungama dhambi za wana wa Israeli, tulizozifanya juu yako; naam, mimi na nyumba ya baba yangu tumefanya dhambi.