Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 13:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Adui yangu asije akasema, Nimemshinda; Watesi wangu wasifurahi ninapoondoshwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Usiwaache maadui zangu waseme: “Tumemweza huyu!” Watesi wangu wasije wakafurahia kuanguka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Usiwaache maadui zangu waseme: “Tumemweza huyu!” Watesi wangu wasije wakafurahia kuanguka kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Usiwaache maadui zangu waseme: “Tumemweza huyu!” Watesi wangu wasije wakafurahia kuanguka kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.

Tazama sura Nakili




Zaburi 13:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa kwa muda kidogo tumeneemeshwa na BWANA, Mungu wetu, hata akatuachia mabaki yaokoke, akatupa msumari katika mahali pake patakatifu. Mungu wetu atutie nuru machoni mwetu, tuburudike kidogo katika kufungwa kwetu.


Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.


Ee Mungu wangu, Nimekutumainia Wewe, nisiaibike, Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo; Wasiseme, Tumemmeza.


Maana nilisema, Wasije wakanifurahia; Wale wanaojitukuza juu yangu Mguu wangu unapoteleza.


Umtwike BWANA mzigo wako naye atakutegemeza, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Inuka, ee BWANA, mwanadamu asipate nguvu, Mataifa wahukumiwe mbele zako.


Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe.


Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema BWANA, ili nikuokoe.


Mimi ninayalilia mambo hayo; Jicho langu, jicho langu linachuruzika machozi; Kwa kuwa mfariji yuko mbali nami, Ambaye ilimpasa kunihuisha nafsi; Watoto wangu wameachwa peke yao, Kwa sababu huyo adui ameshinda.


Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi. Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo