Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 129:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Wapitao nao hawasemi, Amani ya BWANA ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Hakuna apitaye karibu atakayewaambia: “Mwenyezi-Mungu awabariki! Twawabariki kwa jina la Mwenyezi-Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Hakuna apitaye karibu atakayewaambia: “Mwenyezi-Mungu awabariki! Twawabariki kwa jina la Mwenyezi-Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Hakuna apitaye karibu atakayewaambia: “Mwenyezi-Mungu awabariki! Twawabariki kwa jina la Mwenyezi-Mungu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la bwana.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 129:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Daudi alipokwisha kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani akawabariki watu kwa jina la BWANA wa majeshi.


Na abarikiwe yeye ajaye kwa jina la BWANA; Tumewabariki toka nyumbani mwa BWANA.


Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaamkia wavunaji, akasema, BWANA akae nanyi. Nao wakamwitikia, BWANA na akubariki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo