Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 129:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 hakuna anayejishughulisha kuzikusanya, wala kuzichukua kama matita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 hakuna anayejishughulisha kuzikusanya, wala kuzichukua kama matita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 hakuna anayejishughulisha kuzikusanya, wala kuzichukua kama matita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 129:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo