Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 129:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Nimesumbuliwa vibaya tangu ujana wangu, lakini hawakufaulu kunishinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Nimesumbuliwa vibaya tangu ujana wangu, lakini hawakufaulu kunishinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Nimesumbuliwa vibaya tangu ujana wangu, lakini hawakufaulu kunishinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 wamenitesa sana tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.

Tazama sura Nakili




Zaburi 129:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye atakuokoa na mateso sita; Naam, hata katika saba hapana uovu utakaokugusa.


Ulinisukuma sana ili nianguke; Lakini BWANA akanisaidia.


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo