Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 128:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Naam, ukawaone wana wa wanao. Amani ikae na Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Uishi na hata uwaone wajukuu zako! Amani iwe na Israeli!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Uishi na hata uwaone wajukuu zako! Amani iwe na Israeli!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Uishi na hata uwaone wajukuu zako! Amani iwe na Israeli!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.

Tazama sura Nakili




Zaburi 128:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Israeli akamwambia Yusufu, Sikudhani ya kwamba nitakuona uso wako, na Mungu amenionesha na uzao wako pia.


Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Kisha baada ya mambo hayo Ayubu akaishi miaka mia moja na arubaini, naye akawaona wanawe, na wana wa wanawe, hadi kizazi cha nne.


Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.


Maana BWANA asema hivi, Tazama, nitamwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho, nanyi mtapata kunyonya; mtabebwa; na juu ya magoti mtabembelezwa.


alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubirie Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo