Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 128:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Utapata matunda ya jasho lako, utafurahi na kupata fanaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Utapata matunda ya jasho lako, utafurahi na kupata fanaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Utapata matunda ya jasho lako, utafurahi na kupata fanaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 128:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.


Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.


Ijapokuwa mwenye dhambi amefanya maovu mara mia na akazidisha siku zake; lakini hata hivyo najua hakika ya kwamba itakuwa heri kwao wamchao Mungu, wenye kicho mbele zake;


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


BWANA ameapa kwa mkono wake wa kulia, na kwa mkono wa nguvu zake, Hakika sitawapa adui zako nafaka yako tena kuwa chakula chao; wala wageni hawatakunywa divai yako, uliyoifanyia kazi.


Kwa hiyo Bwana MUNGU asema hivi, Tazama, watumishi wangu watakula, bali ninyi mtaona njaa; tazama, watumishi wangu watakunywa, bali ninyi mtaona kiu; tazama, watumishi wangu watafurahi, bali ninyi mtatahayarika;


Je! Utatawala kwa sababu unashindana na watu kwa mierezi? Baba yako, je! Hakula na kunywa, na kufanya hukumu na haki? Hapo ndipo alipofanikiwa.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.


BWANA atakufanya uwe na wingi wa uheri, katika uzao wa tumbo lako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako, katika nchi BWANA aliyowaapia baba zako kwamba atakupa.


Utapanda mizabibu na kuitengeza, wala hutakunywa katika divai yake, wala kuichuma kwani italiwa na mabuu.


Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, kuongezeka kwa ng'ombe wako, na wadogo wa kondoo wako.


naye atakula uzao wa ng'ombe wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako mpaka utakapokwisha kuangamizwa; wala hatakuachia nafaka, wala divai, wala mafuta, wala kuongezeka kwa ng'ombe wako, wala wana-kondoo wako, hata atakapokwisha kukuangamiza.


BWANA ataiamuru baraka ije juu yako katika ghala zako, na mambo yote utakayotia mkono wako; naye atakubarikia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo