Zaburi 128:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Heri wote wamchao Mwenyezi-Mungu, wanaoishi kufuatana na amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Heri wote wamchao Mwenyezi-Mungu, wanaoishi kufuatana na amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Heri wote wamchao Mwenyezi-Mungu, wanaoishi kufuatana na amri zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Heri wale wote wamchao Mwenyezi Mungu, wanaoenda katika njia zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Heri ni wale wote wamchao bwana, waendao katika njia zake. Tazama sura |