Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 128:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Heri wote wamchao Mwenyezi-Mungu, wanaoishi kufuatana na amri zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Heri wote wamchao Mwenyezi-Mungu, wanaoishi kufuatana na amri zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Heri wote wamchao Mwenyezi-Mungu, wanaoishi kufuatana na amri zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Heri wale wote wamchao Mwenyezi Mungu, wanaoenda katika njia zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Heri ni wale wote wamchao bwana, waendao katika njia zake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 128:1
24 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nimezishika njia za BWANA, Wala sikumwasi Mungu wangu.


Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA. Naam, vyote vilivyo ndani yangu Vilihimidi jina lake takatifu.


Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, Ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao.


Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Atawabariki wamchao BWANA, Wadogo kwa wakubwa.


Heri walio kamili njia zao, Waendao katika sheria ya BWANA.


Naam, hawakutenda ubatili, Wamekwenda katika njia zake.


Katika shida yangu nilimlilia BWANA Naye akaniitikia.


Nayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?


Nilifurahi waliponiambia, Twende nyumbani kwa BWANA.


Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.


Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Israeli na aseme sasa,


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.


BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.


BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;


Na rehema zake hudumu vizazi hata vizazi Kwa hao wanaomcha.


Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.


Iliyobaki, ndugu, tunawasihi na kuwaonya kwamba mwenende katika Bwana Yesu; kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama nanyi mnavyoenenda, vivyo hivyo mpate kuzidi sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo