Zaburi 126:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mwenyezi-Mungu alipoturekebisha na kuturudisha Siyoni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mwenyezi-Mungu alipoturekebisha na kuturudisha Siyoni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mwenyezi-Mungu alipoturekebisha na kuturudisha Siyoni, tulikuwa kama watu wanaoota ndoto! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mwenyezi Mungu alipowarejesha mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto. Tazama sura |