Zaburi 125:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Kama milima inavyouzunguka Yerusalemu, Ndivyo BWANA anavyowazunguka watu wake, Tangu sasa na hata milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi-Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi-Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kama Yerusalemu inavyozungukwa na milima, ndivyo Mwenyezi-Mungu awazungukavyo watu wake, tangu sasa na hata milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Mwenyezi Mungu anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele. Tazama sura |