Zaburi 124:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Wanadamu walipotushambulia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Kama Mwenyezi-Mungu asingalikuwa upande wetu, wakati ule tuliposhambuliwa na maadui, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Kama Mwenyezi-Mungu asingalikuwa upande wetu, wakati ule tuliposhambuliwa na maadui, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Kama Mwenyezi-Mungu asingalikuwa upande wetu, wakati ule tuliposhambuliwa na maadui, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 kama Mwenyezi Mungu hangekuwa upande wetu, watu walipotushambulia, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 kama bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia, Tazama sura |