Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 122:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Amani na ikae ndani ya kuta zako, Na kufanikiwa ndani ya majumba yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Ndani ya kuta zako kuwe na amani, majumbani mwako kuweko usalama!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Ndani ya kuta zako kuwe na amani, majumbani mwako kuweko usalama!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Ndani ya kuta zako kuwe na amani, majumbani mwako kuweko usalama!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Amani na iwe ndani ya kuta zako, na usalama ndani ya ngome zako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Amani na iwepo ndani ya kuta zako na usalama ndani ya ngome zako.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 122:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo roho ikamjia Abishai, mkuu wa wale thelathini, naye akasema, Sisi tu watu wako, Ee Daudi; Na wa upande wako, Ee mwana wa Yese; Amani, naam, amani iwe kwako, Na amani iwe kwao wakusaidiao; Maana Mungu wako ndiye akusaidiye. Ndipo Daudi akawakaribisha, akawaweka wawe makamanda wa kile kikosi.


Tieni moyoni boma zake, Yafikirini majumba yake, Mpate kuwaambia kizazi kitakachokuja.


Mungu katika majumba yake Amejijulisha kuwa ngome.


Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.


Mamlaka ya enzi yake yatakuzwa daima, Na kutakuwa na amani isiyo na mwisho, Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata milele. Wivu wa BWANA wa majeshi ndio utakaotenda hayo.


Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo