Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 122:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Huko ndiko wapandako kabila, makabila ya BWANA; Kama ulivyowaamuru Waisraeli, Walishukuru jina la BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Humo ndimo makabila yanamofika, naam, makabila ya Israeli, kumshukuru Mwenyezi-Mungu kama alivyoagiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Humo ndimo makabila yanamofika, naam, makabila ya Israeli, kumshukuru Mwenyezi-Mungu kama alivyoagiza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Humo ndimo makabila yanamofika, naam, makabila ya Israeli, kumshukuru Mwenyezi-Mungu kama alivyoagiza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Mwenyezi Mungu, kulisifu jina la Mwenyezi Mungu kulingana na maagizo waliopewa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya bwana, kulisifu jina la bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli.

Tazama sura Nakili




Zaburi 122:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ingieni malangoni mwake kwa shukrani; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake;


Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA.


Kwa kuwa BWANA ameichagua Sayuni, Ameitamani akae ndani yake.


Bali aliichagua kabila la Yuda, Mlima Sayuni alioupenda.


Nimeutua mzigo begani mwake; Mikono yake nikaiondolea kazi nzito.


Kama vile BWANA alivyomwagizia Musa ndivyo Haruni alivyoiweka hapo mbele ya Ushahidi, ili ilindwe.


Mara tatu katika mwaka wana wa kiume wako wote watahudhuria mbele ya Bwana MUNGU.


Basi, Musa akageuka akashuka katika mlima, na zile mbao mbili za mawe mikononi mwake; mbao zilizoandikwa pande zote mbili, upande huu na upande huu ziliandikwa.


wakati huo itakuwa kwamba mahali pale atakapopachagua BWANA, Mungu wenu, alikalishe jina lake, hapo ndipo mtakapoleta kila kitu ninachowaamuru; sadaka zenu za kuteketezwa, na dhabihu zenu, na zaka zenu, na sadaka ya kuinuliwa ya mikono yenu, na nadhiri zenu zote teule mtakazoweka kwa BWANA.


Lakini mahali atakapochagua BWANA, Mungu wenu, katika makabila yenu yote, apaweke jina lake, maana, ni makao yake, elekezeni nyuso zenu hapo, nawe uende huko;


Mara tatu kwa mwaka na watokee wana wa kiume wako wote mbele za BWANA, Mungu wako, mahali atakapochagua; katika sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, na katika sikukuu ya majuma, na katika sikukuu ya vibanda; wala wasitokee mbele za BWANA mikono mitupu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo