Zaburi 122:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Huko ndiko wapandako kabila, makabila ya BWANA; Kama ulivyowaamuru Waisraeli, Walishukuru jina la BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Humo ndimo makabila yanamofika, naam, makabila ya Israeli, kumshukuru Mwenyezi-Mungu kama alivyoagiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Humo ndimo makabila yanamofika, naam, makabila ya Israeli, kumshukuru Mwenyezi-Mungu kama alivyoagiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Humo ndimo makabila yanamofika, naam, makabila ya Israeli, kumshukuru Mwenyezi-Mungu kama alivyoagiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya Mwenyezi Mungu, kulisifu jina la Mwenyezi Mungu kulingana na maagizo waliopewa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Huko ndiko makabila hukwea, makabila ya bwana, kulisifu jina la bwana kulingana na maagizo waliopewa Israeli. Tazama sura |