Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 122:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Nilifurahi waliponiambia, Twende nyumbani kwa BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Nilifurahi waliponiambia: “Twende nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Nilifurahi waliponiambia: “Twende nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Nilifurahi waliponiambia: “Twende nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani mwa Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Nilishangilia pamoja na wale walioniambia, “Twende nyumbani ya bwana.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 122:1
27 Marejeleo ya Msalaba  

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Katika shida yangu nilimlilia BWANA Naye akaniitikia.


Nayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?


Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.


Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Israeli na aseme sasa,


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.


BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,


Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.


BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala mambo yanayozidi nguvu zangu.


BWANA, umkumbukie Daudi Taabu zake zote alizotaabika.


Tazama, jinsi ilivyo vyema, na kupendeza, Ndugu kuishi pamoja, kwa umoja.


Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA, Mhimidini BWANA Ninyi mnaohudumu usiku Katika nyumba ya BWANA.


BWANA, nimependa makao ya nyumba yako, Na mahali pa maskani ya utukufu wako.


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Tumehusiana vizuri; na kutembea Nyumbani mwa Mungu pamoja na mkutano.


Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu kwingineko; Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kuishi katika hema za uovu.


Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu mlimani kwa BWANA, nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la BWANA katika Yerusalemu.


Maana kutakuwa siku moja, ambayo walinzi watalia juu ya vilima vya Efraimu, Inukeni, tukaende Sayuni, kwa BWANA, Mungu wetu.


Naye mkuu atakapoingia, ataingia katikati yao, nao, watakapotoka, watatoka wote pamoja.


Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njooni, twende juu mlimani kwa BWANA, na nyumbani kwa Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake; kwa maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la BWANA litatoka Yerusalemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo