Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 121:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mchana jua halitakuumiza, wala mwezi wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mchana jua halitakuumiza, wala mwezi wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mchana jua halitakuumiza, wala mwezi wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.

Tazama sura Nakili




Zaburi 121:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hawataona njaa, wala hawataona kiu; joto halitawapiga, wala jua; kwa maana yeye aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu na chemchemi za maji atawaongoza.


Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akatayarisha upepo wa mashariki, wenye joto jingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala joto iliyo yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo