Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 121:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Msaada wangu hutoka kwa BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Msaada wangu watoka kwa Mwenyezi-Mungu, aliyeumba mbingu na dunia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Msaada wangu watoka kwa Mwenyezi-Mungu, aliyeumba mbingu na dunia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Msaada wangu watoka kwa Mwenyezi-Mungu, aliyeumba mbingu na dunia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Msaada wangu hutoka kwa Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na dunia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Msaada wangu hutoka kwa bwana, Muumba wa mbingu na dunia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 121:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.


Na mbarikiwe ninyi na BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.


Msaada wetu u katika jina la BWANA, Aliyeziumba mbingu na nchi.


Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.


Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.


Lakini BWANA yuko pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wanaonionea watajikwaa, wala hawatashinda; watatahayarika sana. Kwa sababu hawatafaulu wataona aibu ya milele, ambayo haitasahauliwa kamwe.


Haya ndiyo maangamizo yako, Ee Israeli, kwa kuwa wewe u kinyume changu mimi, kinyume cha msaada wako.


Hata tunathubutu kusema, Bwana ndiye anisaidiaye, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo