Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 120:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Mimi nazingatia amani; Bali ninenapo, wao wanataka vita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Wakati ninaposema nataka amani, wao wanataka tu vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Wakati ninaposema nataka amani, wao wanataka tu vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Wakati ninaposema nataka amani, wao wanataka tu vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

Tazama sura Nakili




Zaburi 120:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni mmoja wa hao wenye amani, walio waaminifu katika Israeli; wewe unataka kuuharibu mji ulio kama mama wa Israeli; mbona unataka kuumeza urithi wa BWANA?


Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa niliwaombea.


Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie.


Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.


Mwenzangu amenyosha mkono awadhuru waliopatana naye, Amelivunja agano lake.


Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.


Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


Yeftha akatuma wajumbe mara ya pili waende kwa huyo mfalme wa wana wa Amoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo