Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 120:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Akupe nini, akuzidishie nini, Ewe ulimi wenye hila?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Enyi watu wadanganyifu, mtapewa kitu gani? Mtaadhibiwa namna gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Enyi watu wadanganyifu, mtapewa kitu gani? Mtaadhibiwa namna gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Enyi watu wadanganyifu, mtapewa kitu gani? Mtaadhibiwa namna gani?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

Tazama sura Nakili




Zaburi 120:3
3 Marejeleo ya Msalaba  

Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo