Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 120:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Ee BWANA, uniponye Na midomo ya uongo na ulimi wa hila.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Uniokoe ee Mwenyezi-Mungu, na watu wadanganyifu na waongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Uniokoe ee Mwenyezi-Mungu, na watu wadanganyifu na waongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Uniokoe ee Mwenyezi-Mungu, na watu wadanganyifu na waongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ee Mwenyezi Mungu, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ee bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 120:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mashahidi wa udhalimu wanasimama, Wananiuliza mambo nisiyoyajua.


Nao wenye haki wataona; Wataingiwa na hofu na kumcheka;


Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA; Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.


Kwa maana matajiri wake wamejaa jeuri, na wenyeji wake wamesema uongo, na ulimi wao una udanganyifu kichwani mwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo