Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 12:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Wewe, BWANA, ndiwe utakayetuhifadhi, Utatulinda na kizazi hiki milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Utulinde, ee Mwenyezi-Mungu, utukinge daima na kizazi hiki kiovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Utulinde, ee Mwenyezi-Mungu, utukinge daima na kizazi hiki kiovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Utulinde, ee Mwenyezi-Mungu, utukinge daima na kizazi hiki kiovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Ee Mwenyezi Mungu, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Ee bwana, utatuweka salama na kutulinda na kizazi hiki milele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 12:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu.


Neno lako limesafika sana, Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.


BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.


BWANA huwahifadhi wote wampendao, Na wote wasio haki atawaangamiza.


Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.


Maana ni nani aliye Mungu ila BWANA? Ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?


Kicho cha BWANA ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za BWANA ni kweli, Zina haki kabisa.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Naye BWANA huwasaidia na kuwaopoa; Huwaopoa kutoka kwa wasio haki na kuwaponya; Kwa kuwa wamemtumaini Yeye.


Mimi, BWANA, nililinda, Nitalitia maji kila dakika, Asije mtu akaliharibu; Usiku na mchana nitalilinda.


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


Hakika awapenda hayo makabila ya watu; Watakatifu wake wote wamo mkononi mwako; Nao waliketi miguuni pako; Watapokea kila mmoja katika maneno yako.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa, waliopendwa katika Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo