Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 119:99 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

99 Ninazo akili kuliko waalimu wangu wote, Maana shuhuda zako ndizo nizifikirizo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

99 Ninaelewa kuliko waalimu wangu wote, kwa kuwa nayatafakari maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

99 Ninaelewa kuliko waalimu wangu wote, kwa kuwa nayatafakari maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

99 Ninaelewa kuliko waalimu wangu wote, kwa kuwa nayatafakari maamuzi yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

99 Nina akili kuliko walimu wangu wote, kwa kuwa ninatafakari kuhusu sheria zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

99 Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 119:99
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hezekia akawafurahisha mioyo Walawi wote waliokuwa mastadi wa kumtumikia BWANA. Basi muda wa siku saba wakala sikukuu, wakitoa dhabihu za sadaka za amani, na kumtolea shukrani BWANA, Mungu wa baba zao.


Nitayatafakari maagizo yako, Na kuziangalia njia zako.


Shuhuda zako nazo ndizo furaha yangu, Na washauri wangu.


Makuhani hawakusema, Yuko wapi BWANA? Wala wanasheria hawakunijua; wachungaji nao waliniasi, nao manabii walitoa unabii kwa Baali, wakafuata mambo yasiyofaidia kitu.


Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.


Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo